Monday, April 6, 2009

TETEMEKO LA ARDHI LAUA WATU ITALY







Katika hali isiyo tegemewa nchini italy yametokea maafa makubwa yaliyosababishwa na tetemeko la ardhi na kusababisha vifo vya watu zaidi ya 270, watu wengine zaidi ya kumi elfu kukosa mahali pa kushi na zaidi ya 1500 wakiwa majeruhi, tukio hilo lilitokea alfajiri ya mapema ya jumanne tarehe 7 april huko mjini L'Aquila.




No comments: