Saturday, April 4, 2009

Haya maisha bado ni kawaida kwa mtanzania


Huwezi amini katika maisha ya mtanzania bado ni kitendawili katika swala zima la sekta ya miundombinu, siku mvua inaponyesha basi inakuwa ni kama kiyama kwa mtanzania , bara bara zinafurika , foleni haziishi, na hata maji taka hayana pa kwenda, je lini tutafika jamani namna hii.

No comments: