Tuesday, April 7, 2009

RAMANI MPYA YA JIJI LA DAR ES SALAAM


Hii ndio ramani mpya ya jiji la dar es salaam tanzania, ambayo inatarajiwa kuanzwa kushugulikiwa haraka iwezekanavyo baada ya pesa za epa kurejeshwa zote, Imekuwa ni ndoto ya kila mtanzania kutaka kuona mji mpya wa dar es salaam ukijengwa upya na kuwa wa kisasa kama ramani yake inavyoonekana juu pichani,

No comments: