Sunday, April 5, 2009

MUNENE NA MUNENE , MWEUSI NA MWEUSI ..., ANATEREEEZA


Bendi ya muziki wa dansi ya Diamond Muzika usiku wa kuamkia leo ilifanya vitu vyake katika Ukumbi wa Mango Garden, ulipo Kinondoni Jijini Dar es Salaam, kama anavyoonekana pichani muimbaji wa bendi hiyo Hassan River (katikati) akilishambulia jukwaa pamoja na wanenguaji wa bendi hiyo.

No comments: