Sunday, April 5, 2009

MAMBO YA TAARABU SI MCHEZO


Kundi la Jahazi Modern Taarabu, usiku wa kuamkia leo lilifanya makamuzi 'ya kufa mtu' katika Ukumbi wa Mango Garden, Kinondoni jijini Dar es Salaam.Mkurugenzi wa kundi hilo Mzee Yusuph, akiwapelekesha puta mashabiki wa kundi hilo (hawapo pichani) kwa kibao cha VIP.

No comments: