Saturday, April 4, 2009

Sio swala la utani , ni kweli imekuwa


pichani mama salma kikwete , mke wa Rais wa awamu ya nne ya jamhuri ya muungano wa Tanzania, mama Salma kikwete akisaidia kumsukumia mkazi wa Dar es salaam kiti bi Rehema nditi ambaye ana matatizo ya mguu na mkono, pembeni yao anayetazama ni mtoto pekee wa bi nditi mwenye miaka 24 anayeitwa maliki, mungu ashukuliwe

No comments: