Thursday, April 9, 2009

JAMANI DC KUNA MAMBO, WATU KUPINDA MGONGO NI KAMA KAWAIDA

Hawa ni wadada wa Tanzania waishio mjini DC Washington, wakiwa katika swala zima la kukonga nyoyo zao, katika style ya kipekee ile ipendwayo na watu wengi kabisa ya pinda mugongo, haya sasa jamani kazi ipo hapo,

No comments: