Friday, August 28, 2009

HAPPY BIRTHDAY UNCLE MICHUZI






Leo ilikuwa ni siku ya kuzaliwa kwa mkuu Issa Michuzi ambaye aliamua kujumuika pamoja na Wadau mbali mbali waliopo ndani ya jiji la Dar katika Ftari iliyoandaliwa katika mgahawa wa cheifplide pale mtaa wa Libya street,sherehe hiyo ilifana sana tena sana.Blogu hii inampa pongezi sana mzee wa Libeneke kwa kukumbuka siku yake ya kuzaliwa na Mwenyezi Mungu amjaalie afya njema na Maisha marefu Inshaallah.

Friday, August 21, 2009

RAMADHAN NJEMA




Bismillah Rahman Raheem
Ndugu wadau popote pale mlipo napenda kuwatakia mfungowa Ramadhani mwema, wenye baraka na naomba Mwenyezi Mungu atujaalie tuweze kumaliza salama na apokee dua zetu na funga zetu. na kwa yoyote atakaependa kupata nasaha za fadhila za mwezi huu kuna baadhi ya sites anaweza kutembelea akapata mawili matatu ambayo yatamsaidia kukamilisha mwezi huu mtukufu,
http://www.alhidaaya.com
http://www.sw.quran.nu hizi ni baadhi ya website za kiswahili na hii ifuatayo ni ya kiingereza http://www.islamicity.com

Wabillah Tawfiq

HASHEEM HIVI HII NI POZI, MDADI AU UNAJIKUNA????

SWALI LA KIZUSHI HIVI HII TATOO INAMAANISHA NINI?