Saturday, June 20, 2009

WAMAREKANI KUFUNDISHWA KIINGEREZA ASILIA TOKA AFRIKA


Afisa Mwandamizi wa ubalozi wa Marekani nchini Dr.Tulinabo Mushingi(katikati) akiwa katika picha ya pamoja na vijana wa vyuo vikuu wanaosomea shahada za kwanza wanaosafiri kesho kwenda Marekani kwa programu ya kufundisha lugha ya kiingereza kwa mataifa ya Afrika. Programu hiyo inagharimiwa na watu wa Marekani,ni programu inayofuzwa kwa kina inayolenga kuongeza usomaji kwa lugha ya kingereza,kuandika,kusoma na kusikiliza maarifa ya wanazuoni wa kiafrika lakini kubwa zaidi ni kuwapa uelewa mpana zaidi wa tamaduni za kimarekani pamoja na mila na desturi zao.

No comments: