



Treni ya abilia imesababisha mauaji mjini dc washington, Treni hiyo inayojulikana kama metro ambayo huwa katika msitari mwekundu na inayofanya safari yake ya kusaidia usafiri kati ka miji ya dc , maryland na virginia, imesababisha mauaji yanayokusudia watu zaidi ya kumi kufa papo hapo na wengine zaidi ya 50 wakiwa majeruhi
No comments:
Post a Comment