Saturday, June 20, 2009

MAMBO YA KIKWETE KATIKA KIKAPU


Pichani ni jezi na mpira wenye saini za wachezaji wa timu ya Chicago Bulls ya nchini Marekani.Zawadi hizo alipewa Mheshimiwa Rais Jakaya Kikwete alipokuwa ziarani Marekani hivi karibuni.Rais Jakaya Kikwete alipata kucheza mpira wa vikapu.Pichani kulia ni mwandishi wa Rais Msaidizi,Premmy Kibanga akizionyesha jezi hizo kwa waandishi wa Habari na Kushoto ni mwandishi wa Habri wa kituo cha channel 5 cha jijini Dar es Salaam BW Patric.

No comments: