Friday, May 1, 2009

"Netherlands Queens Day Drama" Badala ya sherehe ni msiba








Tarehe 30 ya mwezi wa April kila mwaka ni siku ya kuzaliwa kwa malkia wa uholanzi, hii ni sikuuu kwa wananchi na wakazi wa uholanzi, Mwaka 2009 umekuwa ni siku ya wa majonzi kwa taifa la uholanzi baada ya Kijana mmoja aliyejulikana kwa jina la Karst T. mwenye umri wa miaka 38 alipovamia umati wa watu waliokuwa wakimshangilia malkia na familia yake na kuwagonga na gari alilokuwa akiendesha na kusababisha vifo vya watu 7 na kujeruhi 14 katika mji wa Apeldoorn ambapo sherehe hiyo ilifanyika rasmi, mtuhumiwa alifariki muda mchache baada ya tukio. Mungu awapumzishe marehemu kwa amani.









No comments: