Wednesday, May 6, 2009

MAFURIKO YAUA 30 BRASIL


Watu 30 wamekufa na wengine 180,000 kupoteza nyumba na mali zao baada ya mvua kubwa iliyonyesha na kusababisha mafuriko makubwa kusini mwa nchi ya brasil. Miji isiyopungua sita imeathirika kwa mafuriko haya na watu wanakosa misaada kwa kuwa barabara zote zimesombwa na kufunikwa na maji. Serikali ya Brasil inasema itajitahidi kadri iwezavyo kuokoa wanachi wake wote kwenye janga hili.

No comments: