Tuesday, May 5, 2009

BIBI NA BWANA HARUSI WAUWAWA KWENYE SHEREHE YA HARUSI YAO

Huyu ni mmoja wa majeruhi waliojeruhiwa vibaya kwa risasi na bomu huko nchini Uturuki, baada ya watu wawili waliovaa vinyago usoni kuingia ukumbini kwenye sherehe ya harusi iliyofanyika kitongoji cha Bilge Koyu (2okm) kutoka mji wa Mardin na kufyatua risasi mfululizo na kurusha bomu na kusababisha vifo vya watu 44 wakiwemo bibi na bwana harusi siku ya jumatatu jioni . Sababu kubwa ni kwanini bibi harusi aolewe na mtu wa kabila lingine,

No comments: