Thursday, October 22, 2009

WAKATI WA SODOMA UMEWADIA





Hii ndo hali ya dunia yetu kwa sasa, matendo ya ajabu na yanazidi kuongezeka, kama unavyoona pichani hapo juu.
Daniel Chege Gichia (kushoto, mwenye ndevu) ambaye ni bibi harusi akiwa na bwana harusi wake Charles Ngengi wakati wa ndoa yao.

Ndoa iliyofungwa hivi karibuni jijini London, Uingereza, kati ya wanaume wawili, raia wa Kenya, Daniel Chege Gichia (mwenye umri wa miaka 39) na Charles Ngengi (40), imezua gumzo kubwa miongoni mwa wananchi nchini Kenya... hali hii inaongezeka sana
kwa kasi sijui tutafika wapi.

Na picha ya chini ni kati ya wanandoa wawili kutoka nchini marekani Bwana Jamil na Bi Michael. oops na Michael aliyeshika maua, ambao pia waliingia katika ulimwengu huu wa sodoma week chache zilizopita. Mungu atuepusha kua miongoni mwao ni kinyume cha mila na desturi zetu.

No comments: