Monday, September 14, 2009

MPAKANJIA AFARIKI DUNIA


Habari zilizotufikia hivi sasa zinasema kuwa MOHAMED MPAKANJIA amefariki dunia! Akithibitisha kifo hicho, jamaa wa karibu wa mfanyabiashara huyo, alisema kuwa Medy amefariki leo mchana katika hospitali ya Lugalo jijini Dar es salaam alikopelekwa jana usiku akitokea kwa Dk Massawe wa Temeke, ambako alikimbizwa kwa huduma ya kwanza. Habari zinasema kuwa Medy, ambaye alikuwa mume wa marehemu Amina Chifupa, hali yake kiafya haikuwa nzuri katika siku za hivi karibuni. MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU PEPONI - AMIN!!!!

No comments: